Muimbaji mahiri,Rihanna na muigizaji nguli wa filamu Leonardo DiCaprio wameripotiwa kyuyapeleka mahusiano yao katika ngazi nyingine.Japo kumekuwa na taarifa za kukanusha kuwa wapo katika mahusiano kimapenzi ,RiRi ameonekana sana akiwa nyumbani kwa DiCaprio huko Los Angeles.
Taarif toka kwa watu wa karibu na mastaa hao zinasema,Rihanna na Leonardo DiCaprio inawezekana wameamua kutokuyaweka wazi mahusiano yao lakini ukiwa nao karibu utajua tu kama hao ni wapenzi.
Taarifa zaidi zinasema,Leo amekuwa akimuweka karibu zaidi RiRi na inasemekana imefikia hadi kumtengezea sehemu maalumu ya kuvutia sigara kama inavyofahamika Rihana anapenda sna kuvuta.
Taarifa hizi zinapewa nafasi kwasababu Rihana alishawahi kusema kuwa hana mpango tena wakuwa katika mahusiano na mwanamuziki.
Friday, March 13, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment