Rihanna anatengeneza history kwa mara nyingine.Muimbaji huyo mwenye asili ya Bajan amekuwa mrembo mweusi wa kwanza kuwa msemaji wa bidhaa za Dior.
Manam,uziku huyo mpenzi wa mitindo pia ametajwa kushiriki katika sehemu ya nne ya muendelezo wa video ya mitindo ya French fashion house’s “Secret Garden” ambayo ina mamilioni ya mashabiki ambapo wataona kupitia chaneli maalumu ya Diors YouTbe.
Rihanna anaingia katika orodha ya mastaa waliotumika kutangaza bidhaa hizo kama actresses Natalie Portman,
Jennifer Lawrence na Marion Cotillard ambaye ndiye kisura wa bidhaa hizo.
Rihanna tayari ametumika katika kampeni kama za Balmain, Gucci, Armani na hivi karibuni alitajwa kuwa mkurugenzi wa maswala ya ubunifu wa bidhaa za Puma.
Monday, March 16, 2015
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment