Milio ya risasi ilisababisha kuisha mapema kwa onyesho la marappa T.I., Jeezy na Yo Gotti lililofanyika huko Charlotte, North Carolina February 28.Taarifa toka kwa wanausalama wa Charlotte zimesema tukio hilo la shambulizi la risasi lilitokea mida ya saa moja jioni katika klabu ya Label night club na kupelekea watu wawili,mwanaume na mwanamke kujeruhiwa vibaya na kukimbizwa hospitali.
Polisi ya Charlotee imesema jakuna aliyekamatwa kuhusishwa na shambulizi hilo.
0 comments:
Post a Comment