Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, April 16, 2015

nicki-minaj-meek-mill-engaged-congrats-ftr
Revolt TV imetangaza kwamba the Young Money queen,Nicki Minaj kuna uwezekano mkubwa akawa amevalishwa pete ya uchumba na mpenzi wake wa sasa, Dreamchaser Meek Mill.Hii ni kutokana na picha aliyoipost jana April 4 Nick Minaji katika mitadao ya kijamii akiwa amemuegemea mpenzi wake huyo huku akilingishia pete yenye madini ya thamani katika mkono wake wa kushoto na ujumbe huo ukisindikizwa na vikatuni vya alama za mapenzi. 
Miezi miwili iliyopita Nick alikuwa akikanusah mahusiano yake na Mek Mill na kusma wao ni washkaji tu lakini kwasasa amekuwa  akipost picha kadha wa kadha zikiwaonyesha wapo pamoja kama wapenzi.

nicki-minaj-pink-tour-meek-mill–01

0 comments:

Post a Comment