Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, March 17, 2016

 
Kiwanda cha muziki kimebadilika kabisa kutokaa na kukua kwa teknolojia ya haswa ya Internet na mitandao ya kiamii  ahaswa pale inapotoa nafasi kwa mwanamuzi kuunganishwa  na mashabiki wake na kuleta tofauti kubwa.
Jana (March 16), TIME imetoa orodha yake ya sehemu ya pili ya zoezi lake la kila mwaka la kutaja watu 30 wenye ushawishi zaidi mitandaoni ( "30 Most Influential People on the Internet) ," ambapo ndani yake wametajwa mastaa kama Kanye West, Drake  na DJ Khaled.
West anaingia katika orodha kwasababu mara zote hutumia mitandao kujitangaza yeye na kazi zake  Tkuanzia za muziki,mitindo na hata kuhusu familia yake na kama haitoshi hivi karibuni alizindua albamu yake ya The Life of Pablo mtandao ni tu kupitia TIDAL na ukiachilia hayo mr West mkewe ni  Kim Kardashian, ambaye ana mobile apps ki emoji.
Drake anatajwa kwa ubunifu wake wa vitu vinavyokuwa gumzo mitandaoni mfani video for "Hotline Bling," ambayo ilitumika kama sehemu ya tangazo katika fainaly za  Super Bowl 50 .Rapa huyo toka  Toronto pia alionyesha kiasi gani ana power katika Internet wakati akiwa katika vita na Meek Mill alipokuja na kibao "Back to Back," diss track.
DJ Khaled ametunukiwa kuwa masta wa art na Snapchat.Dj na Producer huyo mwenyeji wa Miami aana zaidi ya watu millioni 20 wanaomfuata katika mitandao na umaaruf wake ulipaa zaidi pale alipokabdhiwa ufungo wa  Miami  (  key to the city ) na meya wa mji huo Tomás Pedro Regalado.

0 comments:

Post a Comment