Chris
Brown ametajwa kumtishia meneja wake kiasi kwamba amefikia kuacha kazi.
Taarifa zaidizinasema meneja huyo wa Chris Brown bi Nancy Ghosh alifikia uamuzi wa kuacha kazi kwa kile aalcihokisema kusemewa mbovu na kudhalilishwa kwa mineno baada ya kuhoji makubaliano ya ajira yake tukio lilitokea May 23 wakiwa katika ziara ya muziki huko ulaya.
Taarifa zaidizinasema meneja huyo wa Chris Brown bi Nancy Ghosh alifikia uamuzi wa kuacha kazi kwa kile aalcihokisema kusemewa mbovu na kudhalilishwa kwa mineno baada ya kuhoji makubaliano ya ajira yake tukio lilitokea May 23 wakiwa katika ziara ya muziki huko ulaya.
Baada ya kusemewa mbovu,Nancy
Ghosh alituma ujumbe kwa emali kwa timu ya Chris Brown na kuwaambia anaona hayupo sehemu salama kwani mtu huyo anageuka mnyama akishabwia madawa ya kulevya na kuongeza kusema alitishiwa angetwanga kama alivyotwanga menja Mike G”ambaye ivi karibuni alifungua kesi dhidi ya Brown kwa kupigwa.
0 comments:
Post a Comment