G-Unit head 50 Cent ambaye hivi karibuni ameachia albamu yake ya Animal Ambition,amezungumzia kile kilichomfanya awe na mnyama nahata kufikia kuiita albamu yake jina la kinyama.Akiongea katika mahojiano,rappa 50 Cent amesema,nilipoangukia katika hiphop kitu muhimu kabisa kilikuwa ni kuchagua mtindo,na ndipo nilipovutiwa na mitindo ya kinyama ya ma rappa kama Rakim na rap veteran Nas.
0 comments:
Post a Comment