Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, May 2, 2014

 0501-floyd-mayweather-instagram-01
Bondia Floyd Mayweather ni mpweke hii ni kutokana na taarifa toka kwa mtu wa karibu kabisa na bondia huyo kwamba hali haikuwa shwari pale Mayweather alipogundua aliyekuwa mpenzi wake anatoka na mshikaji wake wa siku nyingi,rappa Nelly.Taarifa zinadai hapo awali Floyd alikuwa tu akihisi Shantel Jackson anatoka na rapper ambaye ni mshkaji wake wa siku nyingi lakini hakujua nani.
Mtu mmoja wa karibu na bondia huyo amesema Floyd asingeweka kwa mitandao habari ya Shantel kunyofoa ujauzito wake ila alifanya hivyo kwa hasira na kukosa muelekeo.
Picha chini inamuonyesha rappa Nelly akiwa na mrembo Shantel Jackson:
0501-shantel-jackson-nelly-instagram-sub-01


0 comments:

Post a Comment