Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, May 6, 2014

Rihanna Leaves Def Jam Recordings, Signs With Jay Z's Roc Nation
Jarida la Complex limeandika Rihanna ameachana na record label alimokuwa akifanya kazi, Def Jam Recordings na sasa amesainishwa kama msanii rasmi wa Jay Z katika label ya Roc Nation.Rihanna alisainiwa na Def Jam Recordings mwaka 2005 wakati Jay Z akiwa ni company's president na baadae kuondoka na kuanzisha label yake ya Roc Nation mwaka 2008,kampuni inayo dili na full-service entertainment,kuandaa nda kuandika nyimbo,producer and engineer management; music publishing; touring,film & television;new business ventures na yote yahusianayo na music kwa ujumla.Roc Natio imesajili wasanii wakali kama Rihanna, Shakira, J. Cole, Rita Ora, Calvin Harris, NO ID, Timbaland, Santigold, DJ Mustard nk.

0 comments:

Post a Comment