Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Saturday, July 11, 2015

Image result for 50 cent,rick ross

Katika kesi iliyosomwa jana (July 10) hakimu wa mahakama ya New York amemtaka rapa 50 Cent ambaye hakufika mahakamani kumlipa dolla millioni 5 mama mtoto wa kike wa rapa Rick Ross ikiwa ni adhabu kwa kumdhalilisha na kukiuka taratibu za haki za binadamu dhidi yake ambapo kwa kila kosa ametakiwa kulipa kiasi cha dolla millioni 2.5.





Mama huyo wa binti wa rappa Rick Ross anayetambulika kwa jina la Lastonia Leviston,alifungua kesi katika mahakama ya New York City kumshitaki rappa 50 Cent kufuatia kufuatia 50 kusambaza mkanda mchafu wa mama huyo katika mitandao.



Wakili wa Leviston,Philip Freidin amesema rapa 50 Cent alijiingizia pesa nyingi kupitia mkanda huo mchafu aliousambaza katika mitandao,tarifa zaidi zinadai mkanda huo umetizamwa na watu zaidi ya millioni 3 katika mtandao wa YouTube.
 Image result for rick ross's baby mama


0 comments:

Post a Comment