Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, July 24, 2015

Chris Brown
Star wa Rnb Chris Brown amekuwa gumzo katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii baada ya kutuma picha na ujumbe akiomba kupatiwa msaada aweze kuondoka nchini ufilipino baada ya kuzuiwa kuondoka nchini humo.Taarifa zaidi zinasema,Chris Brown alienda nchini Philipines kutumbuiza katika tamasha lililofanyika juzi na baada ya tamasha hilo Brown alijipanga kuondoka nchini humo kesho yake kuelekea Hong Kokng kuendela na ziara yake ya muziki ndipo maafisa wa usalama walipomzuia kwa kile walichosema ana deni analotakiwa kulilipa nchini humo kutokana na kutofika katika tamasha alilolipwa ili atumbuize katika sherehe za mwaka mpya na hakutokea.
Chris Brow ametumia mtandao ya kijamii kuomba msaada kwa viongozi wa Marekani akimtaja hadi raisi Obama ili aweze kuruhusiwa kuondoka nchini Philippines.


Chris Brown tweets

0 comments:

Post a Comment