Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, August 7, 2015

Lil Wayne Tour Bus Shooter Says Birdman Should Be Held Liable
Jimmy Winfrey ndiye mtu anayeshikiliwa na polisi akihusishwa na tukio la shambulio la basi la ziara alilokuwamo Lil Wayne na wenzake wa Young Money.
Bwana Jimmy Winfrey katika maelezo aliyoandika hivi karibuni mahakamani ameitaka mamlaka ya polisi nchini marekani kumkamata Birdman kwa kile alichokisema anahusika moja kwa moja kwani tukio hilo lilitokea baada ya Birdman na Lil Wayne kuingia katika ugomvi uliopelekea rappa Lil Wayne kufungua kesi ya madai ya mamilioni ya madola na kutaka kujiondoa yeye na Young Money ndani ya Cash Money.
Mwezi December, Lil Wayne kupitia akaunti yake ya Twitter aliandika kuhusu yeye na kundi lake la Young Money kujitoa Cash Money na kuifungulia Cash Money Records kesi ya madai ya dolla millioni 8.
Mwezi uliopita Birdman na Young Thug walitajwa kuhusika na tukio hilo la shambulizi dhdi ya basi la ziara ya muziki la Lil Wayne na kundi la Young Money lakini Birdaman alikanusha kuhusika na tukio hilo.

0 comments:

Post a Comment