Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, September 14, 2015

Puff Daddy, Rick Ross, Meek Mill & Others Congratulate Floyd Mayweather On 49th Career Win

Alfajiri ya jana (September 13) bondia Floyd Mayweather alijitengezea histiry nzuri katika ulimwengu wa masumbwi baada ya kutimiza pambano la 49 bila kupigwa baada ya kumshinda bondia Andre Berto kwa pointi.Rekodi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na bondia Rocky Marciano.
Mayweather kabal ya mpambano huo alisema huo utakuwa ndiyo mpambano wake wa mwisho na atastaafu.
Mastaa kibao wa muziki nchini marekani walimpongeza bondia Mayweathe kwa kuandika:


"Congrats @floydmayweather !! Now it's time to party!!!" Puff Daddy wrote on Instagram with a flier for his Marquee Fight Night party sponsored by Ciroc. The post has since been deleted, but a screenshot is below.
"@floydmayweather congrats on perfect 49-0 record," Rick Ross wrote on Twitter with a picture of Mayweather and the MMG Black Bottle Boys logo.
"The best ever! F#%k what they talking when you winning!!" Meek Mill wrote on Instagram for a caption of a picture of the boxer with his title belts.
"TBE... 49-0," Lupe Fiasco posted on Instagram, referencing the boxer's "The Best Ever" title.
"Congrats @floydmayweather ANOTHER ONE!#wethebest," DJ Khaled wrote on Instagram for the caption of a picture of himself with Money May.

0 comments:

Post a Comment