Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, September 11, 2015



Rappa Drake ameonekana kama akitaka kurudisha majeshi kwa bingwa wa mchezo wa tennis kwa wanawake duniani,Serena Williams. Wakati Drake yupo katika huo mkakati amekutana na kikwazo,mara nyingi wanawake hushauriana sana hasa wanahisi kuna jambo baya linaweza kumfika mwenzao,hay yamejidhihisha baada ya rappa wa kike toka kundi la Young Money ambaye kwasasa yupo katika mahusiano na rapp Meek Mill,Nicki Minaj kumshauri na kumuonya Serena kwamba Drake amegeukia kumtaka kimapenzi tu kwasababu hakufanikiwa kumnasa yeye (Nicki Minaj) hivyo asimpe nafasi.

0 comments:

Post a Comment