Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, January 14, 2016



Kuna uvumi unaosambaa unaodai kwamba sasa star wa muziki na mkewa Jay Z, Beyonce ni mja mzito na anatamani kupata mtoto wa kiume.Taarifa zaidi zinadai Beyonce alimfata Kim Kardashian ili amshauri namna gani atapata mtoto wa kiume.Beyonce 34 ana mtoto mmoja na rapa Jay Z 46,wa kike,Blue Iv Carter mwenye umri wa miaka 4 na Kim Kardashian 35 ana watoto wawili na Kanye West,North West na Saint.

0 comments:

Post a Comment