Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, June 14, 2016

Lil Wayne In Stable Condition After Suffering Two Seizures
Lil Wayne ametangazwa kwamba anaendelea vema baada ya kutangazwa jana kwamba alipatwa na kifafa mara mbili akiwa safarini katika ndege binafsi kilichopelkea kulazimishwa ndege hiyo kutua kwa dharula.
Msemaji upande wa Lil Wayne amesema  rapa huyo anaendelea vizuri ila bado yupo chini ya uangalizi wa dakitari huku akiwashukuru wote waliokuwa wakimuombea.

Weezy's private jet was forced to make an emergency landing after Wayne suffered the first seizure. The plane was en route to Van Nuys, California from Milwaukee, Wisconsin. When the airliner was preparing to takeoff a second time, he suffered a second seizure.
Taarifa zaidi zinasema Lil Waynealionesha dalili za kutokuwa sawa laikini alikataa matibabu.

Hii si mara ya kwanza kwa Lil Wayne kukumbwa na mikasa ya kuanguka kifafa hali kama hiyo ilimkuta mwaka 2012 na  2013 ambapo hiyo ya 2013 ilimtokea mara mbili ndani ya wiki moja ambapo taarifa zinadai ilitokana na unywaji uliopitiliza baada ya kuacha matumizi ya madawa ya kulevya.

0 comments:

Post a Comment