Hakimu wa mahakama huko Atlanta ameamuru rapa Da Brat kumlipa former NFL cheerleader Shayla Stevens dolla millioni 6.4 licha ya kutumikia kifungo cha miaka mitatu gerezani..
Adhabu hiyo ni kufuatia tukio lamwaka 2007 la kumshambulia na kumjeruhi Shayla Stevens katika nightclub moja huko Atlanta.
Baada ya tukio hilo Da Brat alikutwa na makosa kwani alimjeruhi vibaya mdada huyo na kutakiwa kutumikia kifungo cha miaka 3 gerezani na pia masaa 200 ya kufanya kazi za jamiii na miaka 7 ya kuwa chini ya uangalizi.
Da Brat ameakiwa kumlipa kiasi hicho kikubwa sana cha pesaShayla Stevens baada ya kugundulika kamsababishia kilema cha maisha.
0 comments:
Post a Comment