Brown alikuwa mahakamani siku ya ijumaa huko L.A. kwa muendelezo wa kesi yake inayomkabili ya kushmbulia aliyekuwa mpenzi wake,Rihanna.
Jaji wa mahakama ya Los Angeles,James Brandlin amemtaka Chriss Brown kuendelea na mafunzo ya kukabili hasira na maswala ya madawa ya kulevya kwa miezi miwili zaidi katika kituo cha Malibu treatment
facility na hii ni baada ya kumaliza mafunzo hayo kwa siku tisini.
Maofisa wanaomuangalia Brown wamesema anaendelea vizurilakini hata hivyo kesi itasikilizwa tena April 23 ambapo ndipo itaamuliwa kama Brown atakwenda jela au la kwa kesi inayomkabili ya kumshambulia aliyekuwa mpenzi wake,Rihanna .
Monday, March 3, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment