Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, March 3, 2014

 
Mwigizaji mashuhuri kutoka Kenya,Lupita Nyong'o (31) amenyakuwa tuzo ya Oscar la mwigizaji msaidizi wa kike.Lupita Nyong'o amenyakuwa tuzo ya Oscar baada yakuigigiza kwa makini sehemu ya kuelezea masaibu ya Patseh katika filamu ya kitumwa ya ''12 Years A Slave.''Lupita Nyong'o ambaye ni binti wa professor Peter Anang Nyong'o ambaye ni member wa Kenyan Senate Incumbent amekua
muigizaji wa kwanza mkenya kushinda tuzo ya Oscar katika filamu 12 Years a Slave
BBC Swahili inaripoti,Baada ya kupokea tuzo hilo Lupita amesema " Haikwepi mawazo yangu kwamba hata dakika moja ya furaha katika maisha yangu ni shukran na maumivu makubwa kwa mtu mwingine.''
Kisha Lupita akaongeza kusema, " Na iwe ukumbusho kwangu na kila mtoto kwamba kokote unakotoka, ndoto zako ni halisi.''''12 Years A Slave.''ni Filamu ya kwanza kuchukua tuzo hiyo ya Oscar iliyoongozwa na mwenye asili yakiafrica .12 Years a Slave"imeshinda tuzo tatu za Oscar.
Mwingine ni Mwigizaji Jared Leto alienyakuwa tuzo la mwigizaji bora msaidizi wa kiume kwa jukumu lake la kuelezea maisha ya mwanamke aliye na jinsia mbili aliyekuwa na akiishi na virusi vya HIV katika filamu Dallas Buyers Club.Leto Alilazimika kupunguza uzani kwa kipindi kifupi ili kuigiza.
Sherehe ya kutolewa kwa tuzo hizo zimefanyika mjini Los Angeles nchini Marekani.
seneta peter anyang yoni

Best Supporting Actress

Lupita Nyong’o, "12 Years a Slave"
Jennifer Lawrence, "American Hustle"
Sally Hawkins, "Blue Jasmine"
Julia Roberts, "August: Osage County"
June Squibb, "Nebraska"
Fast fact: This is Lupita Nyong'o's first Academy Award nomination and win.


0 comments:

Post a Comment