Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, March 11, 2014


BBC swahili imeandika,Utawala wa jimbo Colorado nchini Marekani,umesema kuwa katika kipindi cha siku za kwanza thelathini tangu ukuzaji na uuzaji wa bangi kuhalalisha, umekusanya zaidi ya dola milioni mbili kama ushuru.Jimbo hilo ndilo eneo la kwanza duniani kuwahi kuhalalisha uuzaji wa bangi kwa matumizi wa starehe.Utawala wa jimbo hilo umesema kuwa ushuru huo utatumiwa kujenga shule.Kwa mujibu wa takwimu bangi inayokisiwa kugharimu dola milioni kumi na nne iliuzwa mwezi Januari, wakati sheria hiyo ilipoanza kutekelezwa.


Ruhusa uuzaji wa bangi na ushuru utaongezeka maradufu, ni moja kati ya masuala yaliyopogiwa debe na wanaharakati wanaunga mkono matumizi ya bangi katika jimbo Colorado.
Tazama watu wakiwa katika msululu wa kwenda kupata huduma ya bange:

0 comments:

Post a Comment