Common
Common ni rappa toka pande za Chicago moja kati ya wana hip-hop waliotamba na wanaendelea kutamba,Common alirelease first LP, "Can I Borrow A Dollar?" | |||||||||||||
Common ni vegetarian.
alimvisha pete ya uchumba Erykah Badu.
yupo katika label ya Kanye West G.O.O.D. Music label.
Ameigiza katika filamu ya American Gangster (2007) akiwa na ma star kamaRussell Crowe & Denzel Washington .
Eger Davis
Edgar
Steven Davids ni mholanzi ambaye ni professional footballer. alianza kuonyesha makali yake kwa kuchezea timu ya Ajax, pia akaenda Italy kuichezea
Milan na Juventus na baadaye Barcelona. Edga amezaliwa March 13, 1973 (age 41)
QUINCY JONES
|
0 comments:
Post a Comment