Muimbaji mahiri wa muziki wa R&B,Chris Brown imeripotiwa amepelekwa jela mwezi mmoja baada kutokea uvunjifu wa sheria na utovu wa nidhamu vya mwanamuziki huyo.
Brown alikuwa huko Malibu katika kituo maalumu cha kurekebisha tabia alipokuwa akipata mafunzo ya kuzikabili hasira kufuatia kesi yake ya mwaka 2009 ya kumpiga aliyekuwa mpenzi wake,Rihanna.Brown alihukumiwa miaka 5 ya kuwa chini ya uangalizi na masaa 1,400 za kufanya kazi ja kijamii.Brown pia anakabiliwa na kesi nyingine ya kumshabilia mtu huko DC mwezi October mwezi uliopita kesi ambayo itasomwa tarehe 17 mwezi April na endapo atakutwa na makosa atahukumiwa kifungo
Monday, March 17, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment