Siku ya jumatatu march 17 Chriss Brown alitokea mahakami huko Los Angeles akiwa amevalia gwanda za jela za rani ya Orange akiwa ameongozana na mwanasheria wake,Mark Geragos.Brown alifikishwa mahakamani baada ya vitendo vya ukosefu wa nidhamu katika kituo cha Rehab ambapo taarifa kamili zinasema kosa la kwanza alikuwa karibu sana na mdada mmoja mhudumu,pili aligomea vipimo vya madawa ya kulevya na kama haitoshi kujisifia anaujuzi mkubwa wa kutumia visu na bastola.Brown aliondolewa kituoni Malibu Siku ya ijumaa.
Tuesday, March 18, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment