Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, March 18, 2014

 
Rappa na mshindi wa tuzo za Grammy Lil Wayne ameonyesha upendo kwa mwanafamilia mwenzake wa Young Money na mwanachama wa YMCMB baada ya kumtaja kuwa ndiye msanii bora wa hip-hop alive anayemzimia japo anavutiwa kwa kiasi kikubwa na marappa Drake na na Kendrick Lamar ambaye aliwahi kumsifia kwamaba hakuna anaye mfikia na angependa kuwa naye katika familia yake ya Young Money.

Rappa Lil Wyne amemtaja Young Money rappa Nicki Minaj  kuwa ndiye  The Best Rapper Alive  kwa kusema Nicki Minaj siyo tu best female rapper bali ni the best rapper.

0 comments:

Post a Comment