Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, March 18, 2014

 Kanye West
Mtandao wa TMZ, unaripoti Kanye West ameonyesha hana makoa katika kesi iliyokuwa ikimkabili ya kumpiga na kumpora Camere paparazrwa L.A. .Daniel Ramos.
West amehukumiwa miaka 2 kuwa chini ya uangalizi,masaa 24 ya darasa la kujifunza kuzikabili hasira na masaa 250 ya kufanya kazi za kijamii.Vile vile West ametakiwa kuwa mbali na Ramosna ametakiwa kumlipa vifaa vyake vyote alivovisababishia uharibifu na kumlipa gharama za matibabu.

0 comments:

Post a Comment