Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, March 19, 2014

 
Naibu Waziri Mkuu wa Ursi bwana Vladislav Surkov amuongelea hayati Tupac Shakur katika kile alichokisema kama moja kati ya vitu vilivyokuwa vikimvutia Americ.Bwamna Surkov amesema hayo baada ya utata unaoendelea sasa kati ya Russia na President Obama wa America kuhusu kisiwa cha Crimea ambacho kimerudishwa Urusi baada ya wakazi wa kisiwa hicho kupiga kura.Akijibu mapigo juu ya shutuma zilizoletwa na viongozi wa America,hiki ndicho alichokisema naibu waziri mkuu huyo wa Urusi:
The only things that interest me in the U.S. are Tupac Shakur, Allen Ginsberg, and Jackson Pollock. I don't need a visa to access their work. I lose nothing.

0 comments:

Post a Comment