Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, March 20, 2014

 
G-Unit head 50 Cent ambaye hivi karibuni anaachia albamu yake mpya ya Animal Ambition ameweka bayan mipango yake ya baadae.

50 ameendeleza msimamo wake wa kujiapiza kutofanya kazi na pop star Justin Bieber, lakini ameelekeza mawazo yake kwa  Young Money's Drake na Roc Nation princess Rihanna.

0 comments:

Post a Comment