Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, March 21, 2014

im-gonna-tell-God-everything
Siyo rahisi ukitazama picha hii na kujua mtoto huyu alikuwa na maumivu kiasi gani ila kupitia ujumbe wa kuuzunisha alioutoa mtoto huyo raia wa Syria masaa kadhaa kabla ya kufariki.Nchi ya Syria inayoongozwa na raisi  Bashar al-Assad ipo katika machafuko kiasi kwamba kupoteza maisha ya wengi wasi na hatia.
“I’m gonna tell God everything” ndilo neno lamwisho alilotamka mtoto huyo ambaye alikuwa katika maumivu makali alipofikishwa katika kituo imoja cha afya nchini Syria.

0 comments:

Post a Comment