Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Sunday, March 23, 2014

Drake
Ikiwa yamebaki matamasha manne katika ziara yake ya muziki ya ulaya inayoiitwa  “Would You Like a Tour?”rappa Drake alitumia nafasi hiyo kutambulisha wimbo wake mpya “Call On Me kwa mashabiki wake wa ulaya katika uwanja wa National Indoor Arena huko Birmingham,Englandsiku ya ijumaa.Tayari wimbo huo upo katika minong'ono kwamba Drake amemuimbia Rihanna.

0 comments:

Post a Comment