Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, March 28, 2014

Lil Wayne
Mashabiki wa Lil Wayne wanatakiwa kuwa na subira kufuatia kuahirishwa kwa uzindizi wa albumu ya  Tha Carter V waliyotaarifiwa itaachiwa tarehe 5 mwezi may.

Mwezi February Drakealitangaza tarehe ya kuachia albamu hiyo  itaachiwa tarehe 5 mwezi may akiwa jukwaani katika tamasha huko Orleans kwa kusema kama unataka kusikia albamu best ya boss wa  Young Money Lil Wayne,suburini tarehe May 5.
Manager wa Lil Wyne amesema atatangaza rasmi tarehe ya uzinduzi wa albamu hiyo pindi itakapokuwa tayari kabisa na kujiridhisha kabisa.

0 comments:

Post a Comment