Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, March 28, 2014



Sean Kingston amejikuta matatizoni baada ya magari yake mawili kuchukuliwa wiki kadhaa zilizopita. 
Taarifa zaidi zinasema Sean Kingston mara ya kwanza alipokoywa gari aina ya Mercedez Benz G-Wagen huko L.A. shopping baada ya muimbaji huyo kukiuka masharti ya malipo ya gari kwa kupitisha miezi mitatu zaidi.
Gari la pili ne Betley lilichukuliwa na mawakala wale wale wa kukusanya madeni na bidhaa siku ya jumatano pale Sean Kingston alipokuwa akila bata katika hotel ya kifahari ya schmancy Mondrian hotel na kumucha muimbaji huyo na washkaji zake kutumia usafiri wa kukodi.SeanKingstone inaesemekana ana utajiri wa dola millioni 2.

0 comments:

Post a Comment