Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, April 10, 2014

 Birdman and Justin Bieber
The Cash Money boss amemzawadia Justin Bieber gari lake la thamani kubwa aina ya Bugatti. Justin Bieber ameonekana amepozi kwa picha katika Instagram kuonyesha red Bugatti Veyron 16.4 Grand Sport Vitesse.Gari hilo la kifahari linakadiriwa kuwa na thamani ya dolla millioni 1.9 na ndilo gari dogo lenye mwendo kasi zaidi duniani.
“Uncle Stunna luv. My first Bugatti ♛ #generosity,” ndiyo maneno aliyoyapost
 Bieber akiwa ndani ya mkoko huo.
 Wiki iliyopita Bieber alikuwa studio naBirdman na msanii waCash Money Austin Mahone wakifanya ngoma mpya.
Mtandao wa TMZ,umesema gari hilo si zawadi ya moja kwa moja bali Birdman amemuhaidi Bieber kwamba ndiyo usafiri atakaokuwa akiutumia pindi akuenda pande za Miami
Bieber Bugatti

0 comments:

Post a Comment