Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, April 10, 2014

 Drake and Rihanna
Baada ya kuonekana wakiwa pamoja miji mbali mbali ya ulaya,rappa Drake na Rihanna siku ya jumanne usiku walionekana Supperclub huko Hollywood katika kusherekea birthday ya rafiki kipenzi wa Rihanna,Melissa Forde.
Taarifa zaidi zinasema wawili hao kila mmoja alifika kwa muda wake lakini baadae walionekana wakiwa pamoja tena karibu akikumbatiana,kunywa na kucheza pamoja.
Sambamba na Drake na Rihanna pia walikuwapo watu maarufu kadhaa kama mume mtarajiwa wa Ciara,Future,super-producer Mike WiLL Made It were,J. Cole,Christina Milian, na Busta Rhymes.
J. Cole  Melissa Forde  Rihanna

0 comments:

Post a Comment