Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Saturday, April 5, 2014

Alex Ferguson
Sir Alex Ferguson amekubali na amepewa mkataba wa muda mrefu kufndisha katika chuo kikuu cha Harvard.Ferguson atafundisha kozi mpya iitwayo "The Business of Entertainment,Media and Sports" in the school's program ambayo itaanza mwezi May mwaka huu.Wengine ambao tutarajie kuwaona wakipewa dili hilo ni kocha wa Manchester,David Moyes ambaye inasemekana ameshatuma maombi.

0 comments:

Post a Comment