Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, May 7, 2014

 Eminem
Eminem kuweka historykwa kuwa rappa wa kwanza kuongoza tamasha katika uwanja mkubwa Wembley Stadium.Rappa huyo kutoka Detroit atasindikizwa na wasanii wengine katika tamasha hilo litakalofanyika  July 11katika uwanja uliopo mjini London unaochukua watu 90,000.Tickets za tamasha hilo zitaanza kuuzwa siku ya ijumaa,May 9 kuanzia saa tatu asubuhi.
Baada ya kutumbuiza London,Eminem atafanya ziara katika viwanja vitatu vya mpira huko U.S.akiwa na Rihanna katika kili anachokiita ''three-city “Monster Tour,” ambayo itaanza August 7,Rose Bowl huko Pasadena, Calif.

0 comments:

Post a Comment