Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, January 28, 2015

 
Mabondia Floyd Mayweather na hasimu wake Manny Pacquiao walihudhuria mechi ya mpira wa kikapu ya ligi ya NBA jana jumanne usiku,mechi iliyozikutanisha timu mbili za the Heat na the Bucks.Wakati mechi ikiendelea ghafla zikaonyeshwa picha za mabondia hao katika screen kubwa za ukumbini hapo wakifuatilia mechi hiyo na kuwafanya mashabiki kushangilia kwa sauti huku wakiwasihi mabondia hao wakutane ulingoni.
Moja kati ya watu wa karibu na mabondia hao amesema kwamba Pacquiao amesema Mayweather amempatia namba ya simu na amemshauri kama ni mpambano wao wauandae wenyewe.
Manny Pacquiao ameonekana ni mpenzi wa mechi za mpira wa kikapu hasa ligi ya NBA kwani alionekana pia wiki iliyopita katika mechi ya Clipperzs.


Floyd Mayweather Poses With His New Ferrari Enzo


Floyd Mayweather Ferrari photo

0 comments:

Post a Comment