Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, January 27, 2015

 kanye-north-west-kim-kardashian

He ain’t saying she’s a gold digger! Ndiyo mstario ambao Kanye angependa ulimwengu utambue kuhusu mahusiano yake na mkewe,reality star,Kim Kardashian.Kanye anasema japo mkewe Kima anafahamika kwamba anapenda maisha ya kifahari lakini hajamuoa eti kwasababu ana mkwanja mwingi.

Kanye West, 37, na Kim Kardashian, 34, wote ni matajiri na wanamiliki mamilioni ya madola kwenye akaunt zao japo utajiri unatofautiana,Kanye aliweka wazi kwamba hajapendwa kwaajili ya mkwanja alipokuwa anaongea katika sherehe za The BET Honors Jan. 24.

 Kanye West Defends Kim KardashianKanye amesema amekuwa akiyasikia hata katika masaluni kwamba,muamerica mweusi hata awe maarufu lakini mpaka awe na mafanikio na mkwanja ndiyo anaweza kuwa katika mahusiano na muamerika mweupe.

0 comments:

Post a Comment