Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, January 21, 2015

 Tyga Kylie Instagram Photo
Mtandao wa RadarOnline.com umeandika Kris Jenner ameruhusu mwanaye wa kikemwenye umri wa miaka 17, Kylie,kulala ma mpenzi wake,Tyga, 25nyumbani mwake huko Hidden Hills.
Taarifa zaidi zinasema rappa Tyga ameonekana mara kwamara akilala katika jumba hilo la kifahari la familia ya Kardashian

Baba wa “Kylie, Bruce,hafurahii binti yake kujiachia na rappa Tyga mjengoni hapo ila hana mamlaka ya kukataza ama kukemea ila anabaki kugombana na mama wa binti yake huyo.

0 comments:

Post a Comment