Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, January 21, 2015

 
Mtangzaji wa kituo cha redio cha power 105.1,Charlamagne Tha God,amekuwa mdau mwingine wa muziki kuingilia utata ulipo baada ya Lil Wayne kutangaza kujitoa Cash Money,mtangazaji huyo amefiki kumuita bosi wa Cash Money, Birdman,rappa tajiri ambaye hajatoka na kuongeza kusema Cash Money inang'aa sababu ya Lil Wayne.
Rappa Lil Wayne alitangaza mpango wake wa kujitoa Cash Money mwishoni mwa mwaka jana kwa sababu alizozitaja ambazo ni sambamba na kucheleweshewa kutolewa albamu yake na kujiona kama yupo ifungoni.

0 comments:

Post a Comment