Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, January 19, 2015

Mariah Carey and Nick Cannon

Mariah Carey na Nick Cannon ni rasmi sasa kwamba wametalikiana.
Baada ya miezi kadhaa ya minog'ono na uvumi wa hapa na pale,muendesha mashindano ya  “America’s Got Talent” amempa talaka aliyekuwa mkewe kwa takriban miaka 6,muimbaji mahiri,pop diva,Mariah Carey.tukio lililotokea tarehe 12 Dec.
Mastaa hao waliofunga ndoa mwezi April mwaka 2008 huko Bahamas na wamebarikiwa kupata watoto mapacha,Moroccan na Monroe,wenye umri wa miaka mitatu na nusu.

0 comments:

Post a Comment