Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Tuesday, January 13, 2015

 

Je Rihanna anatoka na Leonardo DiCaprio?

Hilo ndilo swali ambalo wengi wanajiuliza baada ya wawili hao kuonekana wakiwa pamoja na karibu wakila bata.Mara ya mwisho mastaa hao kuonekana wakiwa karibu na pamoja ni juzi tarehe 10 jan ndai ya jumba la Playboy.

“Uvumi huu unap0ewa kipaumbele kutokana na kauli aliyoitoa Rihanna kwamba hafikirii kuwa na mpenzi mwanamuziki tena katika maisha yake.


Tarehe 11 Jan ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa star Leonardo DiCaprio hivyo kulikuwa na sherehe iliyofanyika katika jumba la kifajari la Playboy.Wachunguzi wa mtandao wa udaku wa mastaa wa marekani wa TMZ,wamesema mastaa hao Leonardo Dicaprio walikuwa karibu mno kama watu wenye mahusiano ya kimapenzi.

Sherehe hiyo ilihudhuriwa na mastaa kama Paris Hilton, Hilary Duff, Tom Hardy, Pamela Anderson, Naomi Campbell, Tobey Maguire nk.



0112-leo-dicaprio-nikki-party-sbs-instagram-01


0 comments:

Post a Comment