Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, January 12, 2015

Chris Brown
R&B superstar Chris Brown alikuwa akitumbuiza huko San Jose nightclub jana jumapili katika tamasha lililoandaliwa na kituo cha redio cha Hip hop cha 106KMEL.
Wakati akichengua kwa kutumbiza mida ya saa 7:20 za usiku,ghafla ilisikia milio ya risasi na kuwafanya watu kuchanganyikiwa na kukimbia huku na kule tukio ambalo linaripotiwa watu watano walijeruhiwa kwa risasi na kukimbizwa hospitali a hakuna aliyepoteza maisha.
“Katika kudhihirisha yupo fiti na hakudhurika na shambulizi hilo la risasi,R&B superstar Chris Brow kupitia akaunti yake ya Tweeter aliandika ''I’m 100,” he later tweeted (na baadaye aliufuta ujumbe huo).

0 comments:

Post a Comment