Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, January 15, 2015



Snoop Dogg sasa ni babu.Hayo yamejidhihirisha baada ya mtoto mkubwa wa kiume wa rappa huyo,Corde Bradus kutangazwa kupata mtoto na mpeni wake Jessica Kyzer.Mjukuu huyo wa kwanza wa Snoop amepewa jina  Zion.

Katika kudhihirisha zaidi rappa Snoop Dogg aliandika "Zion. U have a lot of love WAitn on u grandson!!” katika Instagram yake jumatani tarehe 14 jan.

0 comments:

Post a Comment