Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, July 2, 2015

Bosi Rick Ross" alikuwa selo kwa siku kadhaa kufuatia maosa ya kujeruhi,kuteka na kutishia maisha ikiwa ni siku saba tu tangu ajigomboe selo kwa makosa ya kukamatwa na bangi.

Ross' jana alipata dhaana katika mahakama ya mwanzo huko Fayette County, Georgia ambapo hakimu alitaka kilipwe kiasi cha dola millioni 2 ambazo rappa Rick Ross alimudu kwani alijidhamini kupitia mali zake zikiwemo jumba la kifahari alilolinunua kwa bondia Evander Hollyfield.


Rick Ross ameachiwa kwa dhamana lakini atakuwa chini ya uangalizi mkali.



0 comments:

Post a Comment