Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, July 3, 2015


 Image result for the game
Rapa The Game amesema bado anakula mkwanja kutokana na kazi zake alizofanya solo na hata alizozifanya na kundi lake la zamani,G-Unit.
The Gam ametamka alipohojiwa na waandishi alipohudhuria sherehe za BET Awards afterparty, The Game bado ananufaika na jasho lake alilolitoa wakati yupo na kundi lake la zamani kwani anapata mgawo wa mauzo wa kazi zao ambazo bado zinaendelea kununuliwa.
Rappa The amesema amejipatia kiasi kisichopungua dolla millioni 30 toka aachane na kundi la G-Unit .

The Game hakujumuishwa wakati kundi lake la zamani lilipowakutanisha wanachama wake mwaka 2014 na kutumbuiza katika tamasha la Summer Jam kutokana na rappa huyo kutokuwa na maelewano mazuri na bosi wa G-Unit,50 Cent.
Rappa huyo toka pande za Los Angeles yupo studioni akimalizia albamu yake ya The Documentary 2..

0 comments:

Post a Comment