Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Wednesday, July 22, 2015


Boyfriend wa Nicki Minaj,Meek Mill amemchan rappa Drake kupitia mtandao wa Twitter. Meek Mill alisema:“Stop comparing drake to me too…. He don’t write his own raps.
Drake ambaye ameshirikishwa katika wimbo wa Mek MII, “R.I.C.O.”ambayo imo katika albamu Dreams Worth More Than Money, lakini  Meek,ameiponda pia kwa kusema:Drizzy didn’t write his verse. “He ain’t even write that verse on my album and if I woulda knew I woulda took it off my album…..
Meek Mill ameongeza kusema kwamba kitendo cha rappa Drake kuandikiwa mistari siyo siri na hata Lil Wayne na Nicki wanafahamu kuhusu hilo.Pamoja na kumponda Drake,rappa Meek Mill amewapa big up ma rappa Kendrick Lamar J. Cole.



0 comments:

Post a Comment