Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, July 23, 2015



Filamu ya "Straight Outta Compton" imepangwa kuonyeshwa katika majumba ya sinema tarehe 14 August.

N.W.A wataungana na kumshirikisha Eminem katika ziara maalumu ya muziki ajili ya kuitangaza filamu yao ya ''Straight outta Compton'',imeripotiwa na ripota wa The Hollywood Reporter na kuandikwa katika jarida litakalotolewa July 31.
Universal,ambayo ndiyo studio waliyotengeneza filamu hiyo,wapo katika mpango wa kuwaunganisha wanachama wa kundi la Hip Hop lililoanza harakati zake mwishoni mwa miaka ya 80 la N.W.A lililokuwa likuiundwa na .Ukiachilia mbali wanachama hao ni Dr. Dre na Ice Cube,katika ziara hiyo ya kuitangaza filamu hiyo atahusishwa rapa Eminem.
Wakiwa katika mahojiano kuhusu filamu hiyo,kwa mara ya kwanza Dre na Ice Cube wamemzungumzia and Cube Suge Knight na kesi yake ya mauaji inayomkabili.
Suge Knight aiyekuwa mmiliki wa studio ya The Death Row ,alitokea mahala ambapo tangazo la filamu hiyo lilikuwa likitengenezwa na baadaye kuondoka na kuwagonga watu wawili ambapo mmoja wapo alifariki.
Dre anakili alikuwapo eneo la tukio na alipoona hali ya sintofahamu ikitokea akaamua kuondoka huku hajui lolote lililotoke nyuma mpaka alipopigiwa simu akiwa anakaribia kuingia nyumbani kwake.

0 comments:

Post a Comment