Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Monday, July 13, 2015

0712-tupac-hussein-fatal-01 
Bruce Washington aka Hussein Fatal ni mmoja kati ya waliokuwa wakiunda kundi la The Outlawz lililokuwa chini ya hayati Tupac .Taarifa toka kwa mmoja wa wawakilishi wa kundi hilo la The Outlaws zinasema rappa Hssein Fatal alifariki meishoni mwa wiki kwa ajali ya gari.
Wanachama wa The Outlaws walipost ujumbe wa kuhusu kifo cha Fatal ulioandikwa: "Rest in Paradise our brother Hussein Fatal. He passed away in a car accident. Pray for his family & kids at this time!"
Fatal alishiriki katika nyimbo kadhaa za hayati Tupac lakini kubwa zaidi iliyompa umaarufu ni ''Hit 'Em Up" ... mstari wake mmoja ulikuwa unasema "Get out the way, yo, get out the way, yo. Biggie Smalls just got dropped."

Kundi la Outlawz, pia lilikuwa linafahamika kama Outlaw Immortalz na Dramacydal ,lilikuwa kundi la wamarekani linalojihusisha na muziki wa hip hop na lilianzisha na hayati Tupac Shakur mwaka 1995 alipotoka jela.
Wanachama: 2Pac (deceased)
Yaki Kadafi (deceased)
Napoleon
Moozaliny
Komani
Kastro
Storm
Lebo: Outlaw, Death Row, Ca$hville, Amaru, Real Talk, Koch, Rap-a-Lot

Mtindo: Hip hop, G-Funk, Gangsta rap   

0 comments:

Post a Comment