Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Thursday, July 30, 2015

 
RiRi ni manukato mapya yaliyoanzishwa na muimbaji mahiri Rihanna baada ya kufanya vizuri sokoni na maukato ya awali kama  Rogue Love na Rogue Man ya mwaka 2014,Ruge na 777 Nude by Rihanna Diamonds ya mwaka 2013,Nude and Rebelle ya mwaka 2012 na Reb’l Fleur ya mwaka 2010.Manukato mapya ya RiRi yatapatikana katika ujazo na ukubwa waaina 3 tofauti na yanatarajiwa kuwa madukani mwezi september.


0 comments:

Post a Comment