Presenter/DJ at RadioOne stay with me "Dj Show" Monday to Friday

RadioOne Dar es salaam 89.7FM|Arusha 95.3FM|Tabora 98.1FM|Dodoma 100.8FM|Mwanza 102.9FM|Moshi 132.3KHZ|Morogoro 103.2MHZ|Tanga 106.3MHZ|Bukoba 92.1MHZ Home of Good Music Tanzania

Friday, August 7, 2015

Baqir-Raza-new-york-city-yellow-cab-discrimination-black-executive-racism













Baqir Raza ambaye ni dereva wa taxi ya New York City ametakiwa ku;ipa faini ya kiasi cha dola 25,000 kwa kosa la kum bagua mama mmoja mweusi aliyefahamika kwa jina la Ctyntia Jordan
Mnamo mwaka 2013 Bwana Baqir akiwa kazini mita ya Mnhattan alikataa kumpakia Cynthia Jorand ambae alikuwa na mabinti zae kwa kuwalokia milango na kuwaambia gari haipo kazi japo taa ya kiashiria yu kazini ilikuwa inawaka na kama haitoshi alionekana mbele kidogo kama hatua kumi akiwapakia wakina mama  wakizungu.
Derva Baqir Raza amepigwa faini ya kiasi cha dolla 25,000 ambap dola 15,000 JIJI NA DOLA 10,000 anapatiwa bi Cynthia Jordan.

0 comments:

Post a Comment